Picha 13 za Naibu Spika akiosha Magari mjini Dodoma

Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akishiriki Kampeni ya kuosha Magari kwa ajili ya kuchangia Waandishi wa Habari kupata Bima (Media car wash) iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma ambapo alichangia shilingi milioni tano.
Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akishiriki Kampeni ya kuosha Magari kwa ajili ya kuchangia Waandishi wa Habari kupata Bima ya Afya (Media car wash) iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma. Kushoto ni Naibu Waziri wa Afya Dkt Hamis Dr. Hamisi A. Kigwangalla

No comments